Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Donald Trump wa Marekani atakutana leo na Mfalme Abdullah II wa Jordan Washington kwa mazungumzo yanayotizamiwa kuwa magumu, kufuatia pendekezo la Trump la kutaka kulichukua eneo la Ukanda wa Gaza / Ripoti ya Shirika la Transparency International imeonya kwamba rushwa inatishia juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi