Muda wa saa 72 uliotolewa na waasi wa M23 kwa wakimbizi wa kivita walioko katika kambi za magharibi mwa mji wa Goma kama Bulengo na Lushagala, unafikia mwisho hii leo+++Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance amewaonya viongozi wa dunia na watendaji wa sekta ya teknolojia dhidi ya udhibiti mkali wa Akili Mnemba.