Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Umoja wa Ulaya unajitahidi kuonyesha kuwa uko huru kiuchumi bila kuitegemea Marekani / Viongozi nchini Kenya wameendelea kutofautiana kufuatia hatua ya Rais William Ruto ya kufutilia mbali mchakato wa kuwachunguza kwa undani vijana kutoka kwenye maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kabla ya kupewa vitambulisho vya taifa.