Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Umoja wa Ulaya na Israel zakubaliana kuboresha misaada kwa Wapalestina / Wapalestina 52 wauliwa Gaza/ Rais Zelensky ahimiza misaada zaidi kwa ajili ya kuilinda Ukraine na afisa wa polisi kukabiliwa na mashtaka ya mauaji nchini Kenya