Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani amewakaribisha kwa mazungumzo katika Ikulu ya WhiteHouse viongozi wakuu wa nchi tano za Afrika Magharibi / Mzozo wa kibinadamu unazidi kushika kasi nchini Malawi kufuatia ishara kwamba huenda kambi kubwa zaidi ya wakimbizi ya Dzaleka ikafungwa hivi karibuni