Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Visa vya dhulma dhidi ya watoto vimeongezeka katika jimbo la Marsabit nchini Kenya / Utafiti mpya umebaini kuwa, wafugaji hasa wa kuku wa kisasa na nguruwe nchini Tanzania, wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) kuongeza utagaji wa mayai kwa kuku na kuongeza kuzaliana kwa nguruwe