Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Ukraine inatazamiwa kupendekeza usitishaji mapigano ya anga na majini na Urusi katika mazungumzo yake na maafisa wa Marekani wanaokutana kesho nchini Saudi Arabia / Mahakama ya Rufaa Kenya imesimamisha mpango wa serikali wa kuagiza vyakula vilivyobadilishwa vinasaba