Hali ya utulivu yashuhudiwa huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwishoni mwa juma katika maeneo ya mapigano wilayani Kalehe ndani ya jimbo la Kivu kusini// Kiongozi wa kundi la Hamas amesema hivi leo kuwa watakabiliana na mpango wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kuchukua udhibiti wa Gaza na kuwahamisha Wapalestina.