Viongozi wa nchi na wadau wengine wanakutana leo na kesho mjini Paris kwenye mkutano wa kilele unaojadili fursa na vitisho vya teknolojia inayokua kwa kasi ya akili mnemba//Mawaziri na maafisa wa ngazi za juu kutoka mataifa 11 ya Mashariki na Pembe ya Afrika wanazingatia kusawazisha sera zao za 'uhamiaji kwa ajili ya ajira' ili kuweza kuzishughulikia changamoto za kuwaingiza watu kinyemela.