Nchini Tanzania jeshi la polisi limethibitisha kumshikilia Dk. Wibroad Slaa+++Watu wasiopungua 10 wamefariki dunia kwenye moto wa msituni unaoteketeza maeneo ya Los Angeles jimbo la California nchini Marekani+++Rekodi zinaonesha mwaka uliopita wa 2024 ulikuwa mwaka wa kwanza kamili duniani kuwa na ongezeko la joto