Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Bunge la Ufaransa limeiondoa madarakani serikali ya Waziri Mkuu Francois Bayrou baada ya kukaa madarakani kwa miezi tisa na kumwacha Rais Emmanuel Macron akiharakisha kutafuta mrithi anayefaa katika siku zijazo / Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania limethibitisha kuwashikilia watu 18 wa tuhuma za kufanya mikusanyiko kinyume na sheria