Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kansela ajaye wa Ujerumani, Friedrich Merz ameapa kuwa serikali mpya ya mseto itaisogeza tena mbele Ujerumani / Utafiti mpya umebaini kuwa, wafugaji hasa wa kuku wa kisasa na nguruwe nchini Tanzania, wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV)