Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Baada ya Marekani kuyawekea mataifa mbalimbali duniani ushuru mkubwa, China imeapa kulipiza kisasi na sasa inajiandaa na vita vya kiuchumi na Washington / Iran na Marekani zinatarajiwa kufanya mazungumzo siku ya Jumamosi nchini Oman katika juhudi za kuanzisha upya majadiliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran