Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Gaza imekuwa kama uwanja wa mauaji kwa sababu Israel inaendelea kuzuia misaada / Matumaini ya Bayern Munich kushinda mataji mawili msimu huu yameingia mashaka baada ya kulazwa 2-1 na Intermilan nyumbani