Rais wa Marekani Donald Trump aashiria yuko tayari kuongeza shinikizo dhidi ya Urusi kwa awamu ya pili ya vikwazo. Kundi la Hamas lasema liko tayari kwa mazungumzo kufuatia mapendekezo ya Marekani kuhusu mkataba wa kusitisha mapigano.. Na serikali ya Ufaransa yakabiliwa na hatari ya kuanguka katika kura ya imani.