Baraza la Usalama nchini Israel limeunga mkono mpango wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wa kuuchukua na kuukalia kimabavu mji wa Gaza+++Kenya imetangaza kuwa haina nia yoyote ya kulipiza kisasi dhidi ya Tanzania kufuatia uamuzi wake wa hivi majuzi wa kuwapiga marufuku wageni kushiriki katika biashara ndogo ndogo