Ujerumani imesema imesitisha kuipa Israel silaha kwa ajili ya matumizi katika Ukanda wa Gaza+++Mazungumzo kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na waasi wa M23 yaliyokuwa yameahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kuwa yalitatarajiwa kurejea leo mjini Doha, Qatar.