Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Marekani Donald Trump amekutana na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu mjini Washington / Wataalamu wa akiolojia, antropolojia, masuala ya utamaduni, sanaa na makumbusho kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika wamekutana jijini Berlin, Ujerumani, kujadili historia ya bara hilo