Viongozi na makada watano wa juu wa Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema, nchini Tanzania kutangaza kukihama chama hicho+++Maelfu ya Waumini wa Kanisa Katoliki wamekusanyika mjini Vatican wakiwa na matumaini ya kuuona moshi mweupe unaoashiria kupatikana kwa kiongozi mpya wa kanisa hilo.