Dunia leo inaadhimisha miaka 80 tangu kumalizika kwa vita vya Pili vya Dunia vilivyodumu kwa muda mwa miaka 6+++Israel imeionya Iran kuwa itafanya kile ilichofanya kwa kundi la Hamas katika Ukanda wa Gaza+++Taasisi ya huduma za macho ya Ujerumani inayofahamika kama TanzanEye, imetoa misaada ya vifaa tiba Tanzania.