Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mchakato wa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki duniani bado unaendelea Vatican+++ Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hali ya wasiwasi inazidi kuripotiwa katika baadhi ya vijiji vya jimbo la Kivu Kusini.