Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amethibitisha kuwa majeshi yake yako katika mkoa wa Belgorod nchini Urusi / Uganda imetia saini hivi karibuni mkataba wa ujenzi wa mtambo wa kusafisha mafuta na kampuni moja kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu UAE