Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Watu wasiopungua 25 wameuwawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel usiku wa kuamkia Jumanne kwenye Ukanda wa Gaza / Mvutano wa kidiplomasia umezuka kati ya mataifa ya Mali,BurkinaFaso na Niger dhidi ya Algeria ambayo hivi karibuni iliiangusha droni ya Mali, ikidai iliingia kwenye anga yake