Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwasili mjini Washington na kukutana na rais wa Marekani Donald Trump / Mataifa matatu ya magharibi mwa Afrika yaliyounda kile kijuilikanacho kama Mfungamano wa Sahel yanaonekana kuchukuwa juhudi za makusudi za kujiondowa kwenye utegemezi wa kigeni katika kuendesha chumi zao kwa kuelekea kwa wawekezaji wazalendo