Umoja wa Ulaya umesema hali katika Ukanda wa Gaza inazidi kuwa mbaya na hasa kutokana na hatua zinazoendelea kudhoofisha shughuli za kibinadamu+++Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, Volker Turk amelikosoa kwa matamshi makali kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda analosema limehusika na mauaji ya watu 319 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo