Mkuu wa jeshi la Israel Eyal Zamir ameelezea wasiwasi wake kwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu wakati wa mazungumzo kuhusu kuvitanua vita vya Gaza+++Ghasia za kijihadi ambazo hazijadhibitiwa zimewalazimu wakazi wa vijijini kukimbia kutoka maeneo ya kilimo ya Kaskazini mwa Nigeria.