Kenya - Hali ni tete mjini Nairobi huku vijana wakiendelea kushiriki maandamano ya kuipinga serikali+++BRICS yasema haiko kuihujumu Marekani+++Urusi yasema imedungua droni tatu zolizorishwa nchini mwake kutokea Ukraine+++Kongamano la Kimataifa la Vyombo vya Habari linaloandaliwa na Deutsche Welle (GMF) laanza mjini Bonn