Watu wanne wameuawa nchini Kenya na wengine kadhaa wamejeruhiwa huku shughuli katika Jiji la Nairobi na miji mingine mikuu nchini humo zikisitishwa Jumatatu hii+++Mashambulizi kati ya Urusi na Ukraine yasababisha kusitishwa safari za ndege+++Waasi wa Houthi wadai kuishambulia meli ya Kigiriki+++Wadau wa Kiswahili wataka kuanzisha mabaraza ya Kiswahili Afrika Mashariki