Watu wasiopungua 15 ikiwemo mwandishi habari mmoja wameuawa leo kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya vikosi vya Israel+++Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, CHADEMA, kinaonekana kuingia kwenye mtikisiko mkubwa wa ndani wakati huu viongozi wakuu wa chama hicho wakiendelea kufanya mikutano ya nchi nzima