Mvua zilizonyesha kwa siku karibia tatu mfululizo mjini Kinshasa, zimesababisha vifo vya watu ishirini na mbili na wengine arobaini na sita wakiwa wamejeruhiwa+++Umoja wa Ulaya umeafikiana kuyapa msukumo zaidi mazungumzo yanayonuwia kuondoa kodi mpya za kulipiza kisasi zilizotangazwa na rais Donald Trump wa Marekani.