Viongozi wapya wa Syria wameanzisha operesheni kubwa ya usalama baada ya zaidi ya watu 70 kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea nchini humo+++Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Patrick Muyaya amesema Congo inapambana na Rwanda katika maeneo tofauti na kwamba inatafuta haki kwa haraka.