Ujumbe wa ngazi ya juu wa kundi la wanamgambo la Hamas umewasili mjini Cairo ili kuendeleza juhudi za makubaliano yanayosuasua ya kusitisha mapigano huko Gaza+++Rais William Ruto wa Kenya na Waziri Mkuu wa zamani Raila Odinga wameweka rasmi saini kwenye mkataba wa kisiasa, ishara ya azma yao ya kufanya kazi pamoja