Umoja wa Mataifa umetowa mwito wa amani kwa mara nyingine kuhusiana na mgogoro unaoendelea Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo+++Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC kutokana na uamuzi wa mahakama hiyo wa kuichunguza Israel.