Mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk ameonya kwamba ikiwa hakuna kitakachofanyika, hali huenda ikazidi kuwa mbaya, huko Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo+++Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Rais wa Marekani Donald Trump, kuubadilisha uamuzi wake wa kuiwekea vikwazo Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu ya ICC.