Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili mzozo unaondelea katika Ukanda wa Gaza//Leo tarehe 6 Agosti, Japan inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 tangu kutokea kwa mashambulizi ya bomu la atomiki katika mji wa Hiroshima// Afrika Kusini imeeleza wasiwasi wake kuhusu usalama wa kikanda, kufuatia hatua ya Marekani kuwarejesha wahalifu katika taifa jirani la Eswatini.